Vinywaji      Mifugo      Ngozi      Nyuki      Sonya      Usafi wa mwili      uzito      Virutubisho       Contact us 

MWONGOZO WA BIDHAA ZA FOREVER LIVING
HISTORIA FUPI YA BIDHAA ZA FOREVER LIVING

Bidhaa hizi zimeanzishwa na Bwana Rex Maugan ambaye ni mtu hodari na aliyekuwa na ndoto. Kwa miaka mingi alikuwa akiwaza kuanzisha kampuni itakayosaidia watu afya na kipato. Mwaka 1978 alifanikiwa kupata wazo na kulaks watu 43 kushiriki mkutano wa kwanza huko Phoenix,Arizona ambao ndio umekuwa chanzo cha kuanzisha kampuni kubwa iliyosambaa nchi zaidi ya 130 duniani na kufanikisha ndoto yake.

Aloe Vera ni nini?

Ni mmoja kati ya mimea ya dawa iliyojulikana tangu kitambo sana. Una zaidi ya miaka 2000 catlike historia na sayansi.
Una umbo kama cactus, lakini ni jamii ya mimea ya lilly. Kuna zaidi ya aina 200 za mimea ya aloe vera (shubiri) una zaidi ya virutubisho 75 ikiwa ni pamoja na madini 20, amino acid 18 na vitamin 12.
Aloe vera (shubiri) ina faida kuu tano kwa mwili wa binadamu
Kupenya mwilini - aloe vera hufikia tishu za ndani kabisha tabaka saba kwenda ndani

Huuwa vimelea vya magonjwa-ina vichocheo sita vinavyoua vimelea vya magonjwa kama
bacteria virus na fangsi
Uzalishaji wa chembechembe hai za mwili-huchochea utengenezwaji wa chembe chembe mpya na tishu mpya zenye afya.
Hufanya mfumo wa fahamu kufanya kazi vizuri- hutuliza matatizo yanayoathiri mfumo wa fahamu
Husafisha-huondoa sumu mwilini na kufanya utendaji kazi wa mwili urudi katika hali ya kawaida.
Aloe vera ni kinywaji cha asili ambacho huboresha na kuondoa maradhi mengi katika miili yetu.
Aloe vera inaweza kusaidia katika:
Vidonda vinavyotokana na kuungua, kujikata, michubuko, vidonda vya tumbo, kung’atwa na wadudu wakali na wanyama
Matatizo ya kutopata haja hasa maumivu wakati wa kupata haja kubwa
Matatizo ya ngozi kama psoriasis, pumu ya ngozi (eczema), chunusi (acne) na dermatitis
Matatizo mengine kama shida ya mmeng’enyo wa chakula, kinga ya mwili ungonjwa wa koo, pumu na uchovu wa mwili usioeleweka, maumivu sehemu mbalimbali za mwili, matatizo ya usingizi.

 


                             Bei yake Tsh 10,000/=

Bidhaa ya kusafisha meno iliyotengenezwa tokana na “stabilized” Aloe Vera Gel pamoja na bee propolis hivyo huua bacteria na vijidudu vyote.

Inang’arisha meno bila kuchuna tabaka la juu la meno– ENAMEL

Huzuia meno yasitoe damu, kuponya vidonda vya mdomoni na endapo kuna maumivu mdomoni  unaweza kupaka kwenye meno moja kwa moja bila kupiga mswaki.

Husaidia kusafisha fizi na kuzifanya tishu zake ziwe na afya na imara.

FAIDA:HUZUIA KTUOKWA DAMU, HARUFU MBAYA, KUIMARISHA FIZI, MATUNDU KWENYE MENO, HUPONYA VIDONDA VYA MDOMONI

Aloe vera

·Aloe vera hubadilisha mfumo wa mwili wako uendane na mahitaji ya mwili hivyo huondoa vitu visivyohitajika katika mwili na kuondoa mattes ya kuharisha na kutopata haja kubwa kirahisi.
·Aloe vera ni salama, haina sumu kwa binadamu na haina madhara; Kimsingi ni kama juisi. Hata ukizidisha kipimo haileti madhara. Inaweza kutumika ndani ya mwili kwa kunywewa au nje ya mwili kwa kupakwa.
·Hupunguza maumivu
·Hupunguza uvimbe
·Huondoa muwasho
·Huondoa fangasi
·Huua bacteria hata kama ikichanganywa na kinywaji kingine

Copyright © 2010 Forever Living partner in Dar es salaam Tanzania. All rights reserved